Watoto wa jiji la Tanga wakishindana kucheza muziki ka katika muendelezo wa Tamasha la Wazi la Filamu
nchini lililokuwa limedhaminiwa na Kampuni hiyo kupitia kinywaji chake kisicho
na kilevi cha Grand Malt.
Meneja Masoko wa Kampuni ya Bia
Tanzania,Fimbo Butallah akimkabidhi zawadi Mtoto Omary Juma alieibuka mshindi
wa jumla wa kucheza muziki katika muendelezo wa Tamasha la Wazi la Filamu
nchini lililokuwa limedhaminiwa na Kampuni hiyo kupitia kinywaji chake kisicho
na kilevi cha Grand Malt.
Meneja Masoko wa
Kampuni ya Bia Tanzania,Fimbo Butallah na Mratibu wa Tamasha hilo la Wazi la
Filamu,Mussa Kisoky wakiwa pamoja na Watoto waliofika katika hatua ya nne bora
katikashindano la Kucheza muziki wakati wa Tamasha la wazi la Filamu lililokuwa
likifanyika kwenye viwanja vya Tangamano,jijini Tanga
Picha zote kwa hisani ya Intellectuals Communications Ltd
Comments
Post a Comment