MABINGWA wa ligi nkuu soka Tanza nia Bara Simba, pamoja ana mabingwa wa kombe la Mapinduzi Azam Fc leo watashuka katika uwanja wa Aman Visiwani Zanzibar katika mechi mbili tofauti za hatua ya nusu fainali ya kombe La Urafiki.
Wakati Simba itashuka kuwaana na Zanzibar All Stars, Azam FC itaumana na Super Falcon mchezo utakaoanza a saa 10:30 jioni.
Wakati Simba itashuka kuwaana na Zanzibar All Stars, Azam FC itaumana na Super Falcon mchezo utakaoanza a saa 10:30 jioni.
Comments
Post a Comment