AFANDE SELE AUTAKA UBUNGE


MFALME wa Rhymes nchini Seleman Msindi 'Afande Sele' ameweka wazi mpango wake wa kugombea ubunge katika uchaguzi wa mwaka 2015.
Akizingumza hivi karibuni Sele alisema ameamua kugombea ili kuweza kuwatetea wanyonge ambao wamekosa watetezi bungeni.
Hata hivyo Msindi ambaye amekuwa akiimba nyimbo zenye 'mguso' kwa jamii zikiwemo 'Mtazamo' aliowashirikisha Solothang na Prof.J,Karata Dume na nyinginezo hakuweka wazi kuwa atasimama kwa tiketi ya chama gani.

Comments

  1. Hongera kaka, jitahidi utashinda na mungu akuongoze katika hilo.

    ReplyDelete
  2. Hongera kwa kutangaza nia, lakini hizo nywele itakubidi unyoe, yale mambo yetu yale uache ili kipindi cha kampeni kitakapoanza, upunguze maswali yasiyokuwa na msingi.... Ubunge siyo show za majukwaani za kukonga nyoyo za mashabiki,, usiige ndugu yangu, jitahidi uwe na sera mbadala zitakazokubalika kwa wanyonge na wasio wanyonge ili uweze kuwing political majority.... My advise, msuba ni mzuri kwa stimu lakini hauna staha,....

    ReplyDelete
  3. NI WAZO ZURI KUJIAMINI NBONA MR TWO AMEWEZA

    ReplyDelete
  4. Hongera, hiyo imekaa vyema je! Kwa tiket ya chama gani?

    ReplyDelete
  5. NENDA CHADEMA KAMA UNATAKA KUTETEA WANYONGE SI CCM MAGAMBA

    ReplyDelete
  6. kagombee chadema kama mtetezi wa wanyoge.pia utapita kwa urahisi na kuzoa kura za vijan

    ReplyDelete

Post a Comment